Thursday, 14 June 2012

WABUNGE WATEULE WAPISHWA LEO BUNGENI DODOMA

 
Mbunge wa Kuteuliwa James Fancis Mbatia akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012.

Mbunge wa Kuteuliwa, Sospeter  Mwijarubi Muhongo akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Juni 12, 2012.

Mbunge wa Kuteuliwa Janet Zebedayo Mbene akiapa, Bungeni Mjini Dodoma  Juni 12, 2012.

 Mbunge wa Kuteuliwa Saada  Mkuya Salum akiapa Bungeni Mjini Dodoma Juni 12, 2012.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa (kushoto) , Mbunge wa Viti Maalum  Leticia Nyerere (kuli) na Mbunge wa Iramba Magharibi,  Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge  Mjini Dodoma Juni 12,2012.


No comments:

Post a Comment