Thursday, 1 November 2012

BONDIA WA TANZANIA ULINGONI AFGHANISTAN


Afghanistan inaandaa pigano la kwanza la ndondi kuwahi kufanyika nchini humo huku kukiwa na ulinzi mkali sana. Matanzia Said Mbelwa atatoana jasho na muafghani Hamid Rahimi. hapa

No comments:

Post a Comment