Tuesday, 4 June 2013

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MIL. 41 MBARALI,MBEYA.

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo (kulia) akiwa na wafanyakazi wenzake  wakifurahia maji yanayotoka katika kisima walichosaidia kijijini isnura, wilayani Mbarali, katika hafla iliyofanyika hivi karibuni kijijini hapo. Sehemuambapo kisima kimechimbwa Kisima chenyewe kinavyoonekana Kilindo (kulia) akizungumza na baadhi ya wanakijiji pamoja na wafanyakazi wa TBL

No comments:

Post a Comment