Monday, 27 February 2012

50 CENT & BONDIA FLOYD WALIVYOWASILI ORLANDO.


Siku zote Bondia Floyd Mayweather na 50 CENT ambao ni marafiki wakubwa, wamekua wakijionyesha kwa uwezo wa kifedha na mali za kifahari walizonazo, hii picha imetoka wakati wakiwasili Orlando huko Marekani for All-Star weekend, ambapo pia ilikua birthday ya Floyd.
Floyd na 50 ni washkaji sanaaaaa mpaka hata ukiangalia kwenye page yake ya twitter 50 cent anazaidi ya followers Milioni Tano laki tisa lakini yeye anafata page nne tu za twitter, na moja ni ya Floyd Mayweather, lakini pamoja na ushkaji alionao 50 na watu kama Eminem, Dr Dre, na members wake wa G unit kama Lloyd na Tony Yayo hajamfollow hata mtu mmoja kati ya wao…..hapo chini ni List ya page nne tu anazozifata 50 kwenye twitter.

No comments:

Post a Comment