Member wa zamani wa kundi la Tip Top Connection mwimbaji Keisha leo ametangaza kuitoa single yake ya pili kuiandika na kuiimba toka aolewe na kujifungua mtoto ambae ana umri wa zaidi ya mwaka mmoja.
Kingine ambacho kilifanya nishawishike kumuuliza hili swali haraka, ni pale aliposema sasa hivi kwenye hii single anashirikiana kikazi na Meneja wa Tip Top Connection Bab Tale.
Keisha amesema “mambo ya tumbo tuyaweke mbali, sasa hivi tunafanya

No comments:
Post a Comment