Thursday, 23 February 2012

MWANAMKE AKIRI KUPATA UJAUZITO KUTOKA KWA MAITI!


Mama mmoja huko Marekani anayefanya kazi mochuari ameingia matatani baada ya kupata ujauzito kwa kujamiiana na mtu aliyekufa ambapo Mtandao wa habari wa Dead Serious News umesema tukio hilo linadhaniwa kutokea katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Mourning Glory, nje ya Lexington, Missouri.
Polisi wamemshtaki mama huyo aitwaye Felicity Marmaduke kwa kosa la kunajisi na kuchezea maiti ambapo Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na polisi, kiungo cha kiume cha mwili wa mtu aliyefariki kilihamasika wakati mwili ukioshwa.
Taarifa zinasema kwa kuwa mama huyo alikuwa peke yake, aliamua kujamiiana na mwili huo na Kwa mshangao hata kwa mwanamama huyo, maiti huyo alitoa mbegu za kiume. Wiki chache baadaye Bi Marmaduke alijikuta na ujazito.

No comments:

Post a Comment