Majeshi ya Ethiopia na yale ya serikali ya mpito ya Somalia yameuteka mji wa Baidoa ambao ni mojawapo ya ngome kuu ya wapiganaji wa Al Shabaab ambapo Walioshuhudia wamesema magari 50 vikiwemo vifaru vya kivita viliingia mjini Baidoa bila upinzani wowote.
Kundi la Al-Shabaab ambalo lilijiunga rasmi ya mtandao wa al-Qaeda limethibitisha kuwaondoa wapiganaji wake kutoka mji huo ambapo pia Wapiganaji hao wameonya kuanzisha mashambulio ya kujitoa mhanga dhidi ya majeshi ya kigeni.
Kundi la Al-Shabaab ambalo lilijiunga rasmi ya mtandao wa al-Qaeda limethibitisha kuwaondoa wapiganaji wake kutoka mji huo ambapo pia Wapiganaji hao wameonya kuanzisha mashambulio ya kujitoa mhanga dhidi ya majeshi ya kigeni.

No comments:
Post a Comment