Thursday, 23 February 2012

Mkuu wa Mkoa Wa Ruvuma Said Mwambungu Aongoza Kikao Cha Kamati Ya Ulinzi na Usalama Ruvuma Kujadili Mauaji Yaliyoikumba Mkoa Wa Songea

Baadhi ya wajumbe wa Kamati hiyo, wakiwa katika mkutano wa kujadili mtafaruku huo. Add caption
 Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Ruvuma, ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa huo, Said Mwambungu akizungumza katika mkutano na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama baada ya kutokea mauaji wakati wa maandamano ya wananchi ya kupinga mauaji ya watu kwa imani za kishirikina.. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Songea, Thomas Sabaya.

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambao ni wenyeviti wa Serikali za mitaa, madiwani wakimsikiza Mwambungu kwenye mkutano huo wa dharula.Picha na Muhidin Amri

No comments:

Post a Comment